Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, August 18, 2014

PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA BARABARA WA TAMISEMI

PG4A2053
 Waziri Mkuu. Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu , Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,  Jumanne Sajini baada ya kuwasili  kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro August 17, 2014 na  atafungua  Mkutano wa  Wadau wa  barabara wa Serikali za Mitaa  kwenye hoteli ya Ngurdoto Arusha August 18, 2014.  Katikati ni Waziri wa TAMISEMI , Hawa Ghasia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A2203Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Barabara  wa Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye hoteli ya Ngurdoti, Arusha August 18, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu PG4A2296Wazirii Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Thabiti Mwambugu wa Ruvuma (kushoto),Joseph Simbakaria wa Mtwara (wapili kusho) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Hawa Ghasia baada ya kufungua mkutano wa wadau wa barabara wa Serikali za Mitaa kwenye hoteli ya Ngurdoto ,Arusha August 18, 2014
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...