Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, June 25, 2013

TASWIRA ZA WAZIRI MKUU MHE. PINDA AKIFUNGUA MKUTANO WA MADC, MARC NA MARAS BUNGENI MJINI DODOMA

IMG_0030
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakinukuu maelekezo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua Mafunzo ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma Juni 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu IMG_0037
Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua Mafunzo ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma Juni 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

IMG_0050
Waziri Mkuu MizengoPinda akihutubia wakati alipofungua Mafunzo ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma Juni 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0055
Waziri Mkuu MizengoPinda akihutubia wakati alipofungua Mafunzo ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma Juni 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0118
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa mkuranga na Waziri wa Kilimo na Ushirika, Adam Malima, Bungeni mjini Dodoa Juni 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0143
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na wabunge, Bungeni Mjini Dodoma 24,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



IMG_0149
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoo) na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0150
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoo) na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0161
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto) na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

IMG_0164
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0177
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...