
Kupitia Twitter Rama ambaye wimbo wake pia umetajwa kuwania tuzo hizo amesema hiyo ni sababu moja ya kwanini wasanii hawaheshimiki.
“Shida ni yetu sisi wasanii Jana nimejifunza vitu vingi sana sioni Kama tunaweza kuheshimiwa #pumba,” ametweet.
“Wasanii wanafurahia Bia na bahasha kwenye Semina za Kilimanjaro hawachangii wala kuuliza maswali ya msingi wengine.”
“Nilipotoa maoni kwenye Semina ya Kilimanjaro THT iingie Kama Kikundi kwenye Kilimanjaro siku maanisha nipo na matatizo na wasanii wa THT.”