Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Thursday, May 2, 2013

Polisi aliyepigwa risasi siku ya kuapishwa waziri mwenye asili ya kiafrika nchini Italia

Huyu ndiye polisi aliyepigwa risasi wakati wa kuapishwa waziri wa kwanza mwenye asili ya kiafrika (Cecile Kyenge) nchini Italia.

Tukio hili lilitokea siku wanaapishwa mawaziri wa nchi hiyo ndipo akatokea jamaa anayedaiwa kuwa anamatatizo ya akili na kuanza kufyatua risasi ndipo akamjeruhi polisi.
Hata hivyo ripoti inasema kuwa polisi aliyejuruhiwa kwenye tukio hilo amejeruhiwa sehemu ya shingoni na yupo hospital kwa matibabu. Hili limeusishwa na masuala ya ubaguzi wa rangi.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...