Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, July 20, 2013

BREAKING NEWZZZ:MR BOMBA ALIYEKUA ANAIGIZA KAOLE GROUP AMEFARIKI DUNIA



Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba msanii wa muda mrefu wa kundi la kaole unayemuona katika picha maarufu kwa
jina la Mr Bomba amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa tatizo la muda mrefu la kansa ya uvimbe katika ini.Mungu alitoa Mungu ametwaa Jina la bwana lihimidiwe.Amina

Endelea kutembelea mtandao huu tutakujuza zaidi kitakachojili
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...