
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza Bw. William Hague amesema, huu ni mwaka wa 22 tangu wanadiplomasia wa Uingereza kuondoka nchini Somalia, na kufunguliwa tena kwa ubalozi huo kutafungua ukurasa mpya wa uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Find Us On Facebook | X | |||