Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, September 6, 2014

SIMBA YAWARARUA WAKENYA 3-0


Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Mkenya Paul Kiongera akishangilia moja ya mabao yake mawili katika ushindi wa 3-0 jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Chini ni mashabiki wa timu hiyo wakifurahia raha za Kiongera, mkali mpya wa mabao wa Msimbazi.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...