Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Wednesday, July 31, 2013

ANGALIA PICHA ZA GARILIYOIBIWA BAADHI YA VIFAA

Gari aina ya Toyota ist lenye namba T 635 CEP kama linavyoonekana pichani limeibiwa na wezi vifaa mbalimbali eneo la Buguruni Chama usiku wa kuamkia leo kama lilivyo kutwa na mwandishi wetu, hadi tunaondoka eneo la tukio saa 1:30 asubuhi mwenye gari alikuwa hajaonekana.

Kioo kidogo cha nyuma kilivunjwa na taa kung'olewa.

Dashboard na radio pia liliibiwa.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...