Mpenzi wa miondoko ya ‘rusha roho’
(taarab), Tausi Mdegela, ambaye alikuwa ni mfupi zaidi kuliko mashabiki
wote waliojitokeza kushuhudia onyesho la bendi ya taarab ya Jahazi
lililofanyika jana usiku katika ukumbi wa Dar Live alitoa burudani kali
kwa mashabiki waliotimba katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live
huko Mbagala jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL)
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL)