Sir Alex Ferguson Ametangaza kuwa anaachia ngazi siku ya mwsiho ya msimu huu akiwa kama mkufunzi wa timu hiyo ,mkufunzi huyo ambaye
amepata mafanikio zaidi kuliko kocha mwingine yoyote kwenye ligi hiyo
atasalia akiwa kama mkurugenzi wa ufundi na balozi wa timu hiyo.
mechi kati ya manchester na West
Bromwich Albion itakayochezwa 19
May na atajiunga na bodi ya timu hiyo , Sir Alex Ferguson Anasema
"Maamuzi ya kustaafu yamekuwa magumu sana nimekuwa ni kifikili kuwa
limekuwa jambo kubwa sana na ni wakati muafaka ,ilikuwa ni muhimu sana
kuaondoka kwenye taasisi kubwa kama hii ambayo tumefanya mambo makubwa
sana na ninaamini nimeyafanikisha kwa sasa "
.
"Ukienda mbele zaidi , Ninahitaji
kuwa Mkurugenzi wa ufundi na balozi wa klabu katika shughuri za kila
siku za klabu hii na mwisho amewashukuru zaidi manchester united na
mashabiki kwa ujumla ." kwa ushirikiano walionipa kwa miaka mingi sana
ni heshima kubwa sana kwangu na kwa klabu pia ya Manchester
United" kocha wa Everton David Moyes, ambaye anapendwa na Ferguson ,
inaaminika kuwa ni kocha ambaye anaweza kuichukua na kufundisha klabu
hiyo