Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, May 6, 2013

FAHAMU KUHUSU ROBIN PERSIE KUPIGA CHINI JEZI NA 9 YA MAN UNTD


Robin Van Persie Ameikata Jezi Namba 9 Ya Man Untd Aliyotakiwa Kuva Msimu Ujao Na Kusema Bado Anataka Sana Kuvaa Jezi Namba 20 Msimu Ujao Kwani Inaashiria Makombe 20 Ya Man Ya English Premier League Na Taji  La Ishirini Alitia Nguvu Zaidi Yeye Likapatikana Akiwa Mchezaji Mwenye Magoli Mengi Zaidi. Robin Anamagoli 25 Mpaka Sasa Na  Inasemekana Ndio Mchezaji Anayependwa Zaidi Na Mashabiki Wa Man Untd Kwa Sasa
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...