Exclusive: Nay wa Mitego aelezea jinsi performance yake ya leo Mbagala ilivyosababisha vurugu
Show
ya Airtel Yatosha iliyofanyika Mbagala Zakhem, Temeke jijini Dar es
Salaam imelazimika kuishia njiani baada ya kuzuka vurugu kubwa.
Fujo hiyo ilianza baada ya Nay kurusha nguo zake na mkanda wake
kuwatupia mashabiki walioanza kuugombania. Vurugu hizo zimesabisha watu
kuumia na wengine kuibiwa.
Msikilize hapa.