
Kampuni ya Rimacy Entertainment Group ya Tanzania ndio itakayoifanya filamu hiyo. Kwa mujibu wa mratibu wa mchakato huo Seif Kabelele filamu hiyo ambayo jina lake bado halijawekwa wazi, itazinduliwa Tanzania, Kenya, Uganda, Uingereza na Marekani.
Amesema May 4 kutafanyika usaili wa waigizaji wengine zaidi ya watano watakaoukula shavu kwenye filamu hiyo.
Usaili utafanyika Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 10 jioni.
Huu ni mchanganuo wa waigizaji wanaohitajika:
•A Girl / 5-8 Years. / Any Ethnicity
•Female / 25-30 Years. / Any Ethnicity
•Male/ 31-40 Years. / Any Ethnicity
•Male / 41-50 Years. / Caucasian
•Male / 18-24 Years. / Any Ethnicity
•Female / 18-24 Years. / Any Ethnicity
•Male / 25-30 Years. / Any Ethnicity
•Female / 25-30 Years. / Caucasian
•Male / 31-40 Years. / Any Ethnicity
•Female / 31-40 Years. / Any Ethnicity
.Female / 51-60 Years./ Any Ethnicity
.Male / 31-40 Years./ Caucasian
Kwa maswali wasiliana na email hii: rimacy.group@yahoo.com



