Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Thursday, April 25, 2013

ISHA MASHAUZI ATUHUMIWA KUIBA POCHI YENYE ZAIDI YA SH LAKI 7

 

Msanii aliewahi kuchukua tuzo mwaka jana kwa umahiri wake wa kuimba vizuri mziki wa taarabu, Isha Mashauzi, leo hii kupitia u heeeeard na Gossip Cop Sudy Brown, ametuhumiwa kuiba pochi la mwenye duka maeneo ya Kariakoo, na huku ikisemekana pochi hiyo ilikuwa na mkwanja wa mauzo, shilingi 758,000.
na bongoclan

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...