Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika
Mtanange wa Mpira wa Miguu kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya
kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya
juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha
taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo
lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt.
Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika
Mpira wa Wavu (Vollyball) kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya
kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya
juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha
taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo
lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt.
Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika
Mpira wa Wavu (Vollyball) kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya
kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya
juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha
taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo
lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt.
Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika
Mtanange wa Mpira wa Miguu kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya
kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya
juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha
taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo
lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt.
Augustine jijini Mwanza.
Msanii
wa Muziki wa Kizazi Kipya wa miondoko ya kufokafoka,Joh Makini akifanya
vitu vyake mbele ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini
Mwanza waliofurika kwa wingi kwenye viwanja vya Raila Odinga ndani ya
Chuo hicho,jijini Mwanza.hii ni katika Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya
kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu
ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na
fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt,
tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo
Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.