Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kushoto) wakisalimiana na Madwani
wa Songea Vijijini baada ya kuwasli kwenye kijiji cha Mkenda kuweka jiwe
la Msingi la Soko wakiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 19,2013.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wananchi
wa Songea Vijijini wakicheza ngoma ya Lizombe wakti Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda alipoweka jiwe la Msingi la ujenzi wa soko na
kuhutubia wananchi katika kijiji cha Mkenda akiwa katika ziara ya mkoa
wa Ruvuma Julai 19,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara ,
Joyce Mapunjo wakiweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko katika kijiji
cha Mkenda wialyani Songea Vijijini Julai 19, 2013. Kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Ruvuma, Thabit Mwambungu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu, Mizengo Pinda
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Joyce
Mapunjo kabla ya kuweka jiwe la msingi la soko katika kijiji cha Mkenda
wilayni Songea Vijijini akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma.Katikati
ni Mbunge wa Peramiho,Jenista Mhagama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na askari wa Msumbiji wakati
alipopita kwenye mpakakati ya nchi hiyo na Tanzania katika kijiji cha
Mkenda akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 19,2013. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiteta na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama (kushoto)
baada
ya kuwasili kwenye kijiji cha Mpitimbi kuzindua msimu wa ununuzi wa
mahindi Julai 19, 2013. Walikuwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda kaipima katika mzani gunia la mahindi kuashiria
uzinduzi wa msimu wa ununuzi wa mahindi katika kijiji cha Mpitimbi akiwa
katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 19, 2013. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa
wa Ruvuma Thabit Mwambungu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mpitimbi
wailayani Songea Vijijini Julai 19, 2013 baada yakuzindua msimu wa
ununuzi wa mahindi akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuama . (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na wazee wa Songea baada ya kuzungumza nao
kwenye Ikulu ndogo ya Songea akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai
19, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)