Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na viongozi wa vikosi vya ulinzi,wakati
alipowasili Uwanja wa ndege wa Karume Pemba,Rais amewasili Kisiwani kwa
ajili ya kuwafutarisha wananchi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Wanancni waliofika kumpokea katika Uwanja
wa Ndege wa karume Pemba jana,Rais yupo kisiwani humo ajili ya
kuwafutarisha Wananchi,ikiwa ni kawaida yake kila ifikapo mwezi Mtukufu wa Ramadhan. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziAlhaj Dk.Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakisalimiana na Wanancni
waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa karume Pemba jana,Rais
yupo kisiwani humo ajili ya kuwafutarisha Wananchi,ikiwa ni kawaida yake kila ifikapo mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alijumuika na Waislamu na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini
Pemba,katika Swala ya Magharibi kabla ya kufutari nao pamoja kwa futari
aliyowaandalia wananchi hao jana katika viwanja vya Ikulu ya Wete.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,pamoja na Wananchi na waislamu wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba waiitikia Dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh Saleh Omar Kaabi,baada ya Swala ya Magharibi,na kuendelea na Futari aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu ya Wete.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto)alipojumuika naViongozi na wananchi wa na Waislamu
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari aliyowaandalia jana katika
viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto)alipojumuika na Viongozi na wananchi wa na Waislamu
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari aliyowaandalia jana katika
viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba,
Akina Mama wa Mkoa wa Kaskazini Pemba walihudhuria katika futari walioyoalikwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama mwanamwema Shein,jana katika ukumbi wa Ikulu ya Wete Pemba,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Wananchi baada ya kufutari nao kwa pamoja jana
katika futari aliyowaalika katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]