Kanye West hajawahi kuwa rafiki wa mapaparazzi. Hasira zake kwa watu hao
jana zimemfanya amshambulie mmoja wao kwenye uwanja wa ndege wa LAX
akitaka kumnyang’anya camera, na sasa anashtakiwa kwa kesi ya jaribio la
unyang’anyi, attempted robbery.
Find Us On Facebook | X | |||