Khadija Riyami wa VOA
akifanya mahojiano na Mh.Edward Lowassa hotelini kwake The Willard Washington
Dc. Ambapo pamoja na mambo mengine katika mahojiano hayo alikanusha yale baadhi
waliodai kuhamishia siasa zake kwenye nyumba za ibada. Kusikiliza matangazo hayo
ya VOA bofya hapa chini.