Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, July 15, 2013

PAROKO ALIYEVAMIWA NA MAJAMBAZI NA KUJERUHIWA KWA RISASI IRINGA AAMUA KUONDOKA NCHINI TANZANIA

ISIMANI 159 bd555
Paroko wa Parokia ya Isimani mkoani Iringa,Padri Angelo (katikati) akiwa katika ibada maalumu ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi, anarudi kwao Italia.

ISIMANI 162 7a32e

Mh: Wiliam Lukuvi (MB) akijumuika na baadhi ya wananchi wa jimbo la Isimani kwenye ibada maalumu ya kumuaga Padri Angelo.
Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera na uratibu wa bunge ,Wiliam Lukuvi ambaye ni mbunge wa jimbo la Ismani akimfariji msaidizi paroko wa Parokia ya Isimani Herman Myalla (36) wa Kanisa aliyekuwa amelazwa Hospitali ya mkoa wa Iringa baada ya kuvamiwa na majambazi juzi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...