Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, July 13, 2013

MKAPA AFANYA ZIARA FUPI YA GHAFLA KUIMARISHA UTENDAJI OFISI ZA CCM MKOA MWANZA


Rais Mtaafu Mhe. Benjamin William Mkapa akisaini kitabu cha wageni ofisi za CCM mkoa wa Mwanza ambapo alifanya ziara ya kuimarisha Chama kiutendaji kwa kazi za ndani.


Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya masuala muhimu ya chama mbele ya Rais Mstaafu pamoja na makada na viongozi wa ngazi mbalimbali mkoa wa Mwanza.


Wafanyakazi wa CCM mkoa wa Mwanza walijumuika na kikao hiki cha ghafla kilichofanywa na Mhe. Rais mstaafu.


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Mkoa wa Mwanza akitoa malezo ya hatua na maendeleo ya umoja wake mbele ya Mhe. Rais mstaafu Ben Mkapa.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...