Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, July 16, 2013

MASHINE YA KUSIMIKA ZEGE KWENYE MAJI YAWA KIVUTIO KWA WAKAZI WA MAGOMENI NA WAPITA NJIA WA BARABARA YA MOROGORO

 Wakazi wa Magomeni pamoja na wapita njia wa barabara ya morogoro wakiwa makini kuangalia mashine ya kuweka zege kwenye maji maeneo ya magomeni wakati mafundi hao wakiendelea na ujenzi wa nguzo za daraja la Magomeni
 Wakiwa bize kutazama jinsi nguzo za madaraja yanayojengwa kwenye maji jinsi nguzo hizo zinavyojengwa
 Wakiendelea kutazama
Mtambo wa kumwaga zege wakati wa ujenzi wa Nguzo za daraja la Magomeni ukiendelea kufanya kazi huku Wakazi wa Jiji la dar wakiendelea kutazama mashine hiyo inavyofanya kazi katika barabara ya Morogoro eneo la Magomeni
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...