Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna akisisitiza jambo wakati
alipozungumza na Wazazi pamoja na Walimu wa Wilaya ya Kati Dunga
alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli mbalimbali ya Unguja
na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za wazazi ilikutatua
matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.
Baadhi
ya Wazazi pamoja na walimu wa Wilaya ya Kati waliohudhuria katika
Mkutano wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya amali Ali Juma Shamhuna huko
Dunga wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli
mbalimbali ya Unguja na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za
wazazi ilikutatua matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.