Waziri
 wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna akisisitiza jambo wakati
 alipozungumza na Wazazi pamoja na Walimu wa Wilaya ya Kati Dunga 
alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli mbalimbali ya Unguja 
na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za wazazi ilikutatua 
matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo. 
Baadhi
 ya Wazazi pamoja na walimu wa Wilaya ya Kati waliohudhuria katika 
Mkutano wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya amali Ali Juma Shamhuna huko 
Dunga wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli 
mbalimbali ya Unguja na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za 
wazazi ilikutatua matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.



