Mji wa Abuja ambao pia una vijana wengi wenye utajiri wa mafuta, mwaka jana September pia uliingia tena kwenye headlines za vijana wenye magari ya kifahari baada ya picha kutoka zikionyesha vijana wenye mkwanja mrefu wakiwa na magari makali kama Aston Martin na Ferrari.
Tuesday, June 11, 2013
Wanigeria noma, hii Bugatti imeonekana kwao!
Mji wa Abuja ambao pia una vijana wengi wenye utajiri wa mafuta, mwaka jana September pia uliingia tena kwenye headlines za vijana wenye magari ya kifahari baada ya picha kutoka zikionyesha vijana wenye mkwanja mrefu wakiwa na magari makali kama Aston Martin na Ferrari.