Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, June 11, 2013

Lwakatare aachiwa kwa dhamana Kisutu

Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),  Wilfred Lwakatare 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam  imekubali kumwachia Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),  Wilfred Lwakatare kwa dhamana ya Shilingi Milioni 10 za kitanzania.
Kwa habari zaidi ungana nasi baadaye
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...