Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, June 21, 2013

UPDATE:JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MBUNGE MOSES MACHALI

 
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba jeshi la polisi mkoani ddoma linawashikiria watu wawili kwa tuhuma za kumpiga mbunge Moses Machalli.Machalli amelazwa katika hospitali ya mkoa dodoma General na anaendelea vizuri.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...