Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, June 11, 2013

Mh. Nassar ashirikiana na wapiga kura wake kuchimba mitaro ya maji jimboni kwake

Nawashukuru wananchi wote waliojitokeza kumuunga mkono mbunge wao kuanzia saa Tatu Asubuhi Mpaka saa kumi jioni kwenye Kazi za mikono. Joshu  Nassar
Jitihada zangu Binafsi kujaribu kutatua tatizo la Maji maroroni Arumeru. Kulia ni 
Mkiti wa kijiji cha Maroroni baada ya kumkabidhi rollers za Maji kijijini hapo

Kamanda Nassar akipiga sururu
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...