Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mhariori wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New
Habari (2006) Ltd, AbsalomKibanda, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 10, 2013 kwa mazungumzo. Kibanda
alimtembelea Mhe. Makamu ili kumwelezea hali yake kiafya inavyoendelea
baada ya matibabu. Picha na OMR