Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, June 10, 2013

NOORAH AFUNGA NDOA HARUSI YAFANYIKA SHINYANGA

Msanii Noorah ameungana na wasanii wengine kuuaga ukapela na kuingia katika maisha ya ndoa.harusi ya Noorah yafanyika nyumbani kwa mkoani Shinyanga.wasanii wengine waliooa karibuni ni pamoja na Shettah, Black rhymo, H baba na wengineo..Kila la kheri brother
 
Credit: DjFetty Blog
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...