Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, June 10, 2013

KUTOKA MTWARA,TAARIFA MPYA ZA MBUNGE ALIYEKAMATWA

UPDATE: Mbunge wa Mtwara mjini, Hasnain Murji na wenzake 91 tayari wamefikishwa katika mahakama ya hakimu Mkazi Mtwara leo asubuhi, wakituhumiwa kufanya uchochezi wa vurugu na kuamsha hisia mbaya kwa wananchi wa Mtwara juu ya suala zima la gesi, na kesi inaendelea sasa.Mbunge wa Mtwara mjini, Hasnain Murji na wenzake 91 tayari wamefikishwa katika mahakama ya hakimu Mkazi Mtwara leo asubuhi, wakituhumiwa kufanya uchochezi wa vurugu na kuamsha hisia mbaya kwa wananchi wa Mtwara juu ya suala zima la gesi, na kesi inaendelea sasa.

Credit:: audifacejackson.blogspot.com
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...