Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, May 25, 2013

RAIS WA ZANZIBAR DR.SHEIN AMTEMBELEA SHEHA WA TOMONDO ALIYEMWAGIWA TINDIKALI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein akimuangalia Sheha wa Shehia ya Tomodo wilaya ya Magharibi Unguja, Mohammed Said Kidevu (kulia) jinsi alivyoathirika na tindikali aliyomwagiwa na mtu asiyefahamika. Bw. Kidevu alimwagiwa tindikali hiyo juzi alipokuwa akirudi nyumbani kwake kutoka kuchota maji; amelazwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar. Kushoto ni Dkt. Salim Mohammed.
Bw. Mohammed Kidevu, Sheha wa Shehia ya Tomondo, Zanzibar (kulia) akimuelezea Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein jinsi alivyomwagiwa tindikali hiyo. Bw. Kidevu alimwagiwa tindikali hiyo juzi na mtu asiyefahamika akielekea nyumbani kwake akitoka kuchota maji. Wa pili kulia ni kaka wa Bw. Kidevu, Sudu Mgeni Said.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...