Unaweza kumekucha, mashabiki wa Real Madrid wameonyesha wazi
kwamba wamemchoka kocha wao, Jose Mourinho.
Mashabiki hao wamemzomea Mourinho wakati akitambulishwa wakati timu hiyo ilipokuwa inaivaa Malaga kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu jijini Madrid.
Lilipotajwa jina lake wakati amsogelea kocha wa Malaga kumsalimiia, karibu nusu ya mashabiki uwanjani hao walizomea kwa kupiga kelele.”boooooooo”.
Mashabiki hao wamemzomea Mourinho wakati akitambulishwa wakati timu hiyo ilipokuwa inaivaa Malaga kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu jijini Madrid.
Lilipotajwa jina lake wakati amsogelea kocha wa Malaga kumsalimiia, karibu nusu ya mashabiki uwanjani hao walizomea kwa kupiga kelele.”boooooooo”.