Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, May 24, 2013

BALOZI KAMALA AWEKA SAHIHI HATI YA MAKUBALIANO NA SANEC.

Balozi wa Tanzania BANELUX na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka sahihi Hati ya Makubaliano na taasisi ya Uholanzi ya SANEC kwa ajili ya SANEC kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania BENELUX kutekeleza Sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Kushoto ni Bwana Mark Agterdenbosch Meneja Mkuu wa SANEC. Uwekaji sahihi umefanyika leo The Hague Uholanzi.

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akipeana mkono na Bwana Mark Agterdenborsh Meneje Mkuu wa SANEC baada ya uwekaji sahihi Hati ya Makubaliano ya kushirikiana kutekeleza sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Shughuli ya uwekaji sahihi imefanyika leo, The Hague, Uholanzi.
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Mabalozi wa Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote - Brussels  Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akimkabidhi  Ilani ya Ushirkiano kwa Manufaa ya Wote Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kibiashara Cha Jumuiya ya ulaya Bibi Sandra Gallina. Kulia kwa Bi. Sandra ni Dr. Mihela Smith Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership). Mabalozi wa nchi za Afrika, Karibiani na Pacific na wadau wengine wamekutana leo Brussels, Ubelgiji kujiandaa kwa ajili ya Mkutano wa Ushikirikiano kwa Manufaa ya Wote utakaofanyika Dar es Salaa mwishoni mwa mwezi wa sita mwaka huu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...