Jana usiku, mrembo/model from Kenya HUDDAH, alikuwa aki-host bonge la
party lililofanyika pale ELEMENTS LOUNGE . Huddah ambae alishiriki
katika shindano la Big Brother Africa: The Chase 2013 ambalo bado
linaendelea huko South Africa .Party hiyo ilihudhuriwa na watu mbali
mbali jijini Dar, check baadhi ya picha katika party hiyo hapa chini ;
Arthur akiwa na Huddah.
AY
Jamil & Gillsant
Arthur & Nchakalih
Huddah & Vanessa Mdee
Adam Mchomvu & Dullah