Jana usiku, mazoezi ya show yalikuwa yakiendelea katika ukumbi wa
NATIONAL MUSEUM sehemu ambayo MwanaFA‘s show ya THE FINEST itafanyikia …
At our presence, band nzima yaKILIMANJARO (Wananjanje), MwanaFA,
Mandojo & Domokaya, Ben Pol, Dully Sykes, Linah, Maua na wengineo
walikuwa wanajiandaa vyema kwa ajili ya Corporate Hip-Hop show hiyo
itakayofanyika leo kuanzia saa 3 usiku …
Tazama baadhi ya picha zikiwaonesha wasanii hawa katika rehearsal hiyo ;
Mzee Moddy with his Guitar !