Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, May 14, 2013

Suma lee Amshukia Lamar Baada ya Kugundua Beat ya Ngoma yake Mpya Inafanana na Beat Kutoka South Africa

Jana kupitia mtandao wa instagram, msanii Suma Lee ambae siku ya juma nne wiki iliyopita alitambulisha ngoma yake mpya "Wanasema" ilitengenewa na producer Lamar, alipost picha inayoonyesha mazungumzo yake na mtu mwingine {sifahamu ni nani} ambapo alikua akiambiwa na kutumiwa beat ya wimbo unaofanana na wimbo wake huo mpya.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...