Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa Chama cha Urafiki kati ya
Watu wa China na Afrika (Prsidendt of Chinese -Africa
Peolple’sFriendship Association (CAPFA), Mh.Abulaiti Abudurexiti
(katikati) na mkewe Gulibusitan Shabitii (kushoto) baada ya chakula cha
mchana alichomwandalia Rais huyo na ujumbe wake kwenye makazi ya Waziri
Mkuu jijini Dar es laam May 8, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).