Afisa wa Benki ya NMB tawi la
Ilala Bw Cuthbert Zimbwe akimuhudumia mmoja wa wateja wa NMB waliofika
katika tawi hilo kwaajili ya Kupata huduma za Kibenki. NMB imeendelea
kuwahudumia Wateja wake
Afisa wa Benki ya NMB tawi la
ilala Cuthbert Zimbwe akiwa na furaha ya kuwahudumia wateja Waliofika na
watakaofika tawini hapo kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali za
kibenki. Sasa mteja wa Benki ya NMB anaweza kupata Huduma za Kibenki
kupitia Simu yake ya Mkononi bila yeye kufika kwenye Matawi ya NMB.
JISEVIE Ni huduma ambayo mteja wa NMB anatakiwa kujiunga na Huduma ya
NMB Mobile kwaajili ya kuweza kupata huduma za kibenki kupitia Simu yake
ya mkononi.
NMB ni Benki ambayo inaongoza kuwa
na mashine zaidi ya 500 za kutolea Pesa Nchini Nzima na Ni benki
inayoongoza Kuwa na Matawi Mengi zaidi ya 150 Nchini Nzima. NMB Benki
yako, Popote ulipo tumekufikia