Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Abbas Kandoro akishangilia na Kombe la Tuzo ya Safari Lager la IBD mara baada ya kuwasili Mkoani Mbeya
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abas Kandoro akipokea Tuzo ya Safari Lager ya
IBD kutoka kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo mara
baada ya kuwasili Mkoani hapo.