Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Wednesday, May 1, 2013

CHEKA AONYESHA UFALME WAKE KWA MASHALI AMTANDIKA KAMA MTOTO

Bondia Fransic Cheka akishangilia ubingwa wake kwenye mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi
Thomas Mshali akiwa amedondoka chini baada ya kutupiwa ngumi kali
Bondia Fransic Cheka Kulia akipambani na Thomas Mshali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi
Bondia Fransic Cheka Kushoto akimshambilia kwa makonde ya nguvu Thomas Mshali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi 
Bondia Fransic Cheka Kushoto akimshambilia kwa makonde ya nguvu Thomas Mshali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi



Bondia Fransic Cheka akizungumza na vyombo vya habari baada ya kushindampambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi
Thomas Mshali akizungumza na vyombo vya habari baada ya kushindwa kwenye mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi
Ulinzi ulikuwa ni wakutosha ukumbini hapo

 Wadau wa mchezo wa ngumi wakiufuatlia kwa umakini mchezo huo mkali
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...