Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Wednesday, July 17, 2013

Sikiliza hapa ngoma mpya ya Mzee Magari, msanii mwingine wa bongomovie aliyehamia kwenye muziki.




cd (8)Wiki kadhaa zilizopita msanii wa bongomovie Rose Ndauka alishirikishwa kwenye collabo na kundi la TNG Squard kwenye wimbo wao mpya, baada ya hapo idadi ya wasanii wa bongomovie ambao wanafanya muziki ilizidi kuongezeka wakiwafuata wakina Snura na Shilole ambao wao wanafanya vizuri sana. Leo hii msanii mkongwe na maarufu sana kwa kuigiza kama mtu katili au wakati mwingine mtu tajiri, hapa namzungumzia Mzee Magari ametoa wimbo wake unaitwa “Dar Raha”. Kwenye interview na millardayo,com Mzee Magari analisema Ninampango wa kuifanya fani hii ya muziki kuwa serious kama ilivyo kwa upande wa movie. Sijatoa huu wimbo kwa kujifurahisha bali muziki pia ni kitu ninachokipenda. Kuna baadhi ya wasanii wanafahamu historia yangu na muziki kabla hata sijaanza kuigiza movie“.
Sasa basi mtu wangu wa nguvu hii ni nafasi yako kusikiliza hiyo ngoma ya Mzee Magari kwa mara ya kwanza exclusive hapa kwenye
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...