Inaonekana Diamond amechoshwa na haters wanaosubiri aanguke kimuziki na
kumcheka, ndio maana leo hii kupitia mtandao wa Instagram, ameamua
kutupia picha inayomuonyesha anaanguka kutoka juu (angani) na kufikia
chini kwa kichwa kwenye barabara ya lami. Picha hiyo iliyokuwa na
maelezo yanayosema , "Najua hiki ndio mnachokisubiri, kwahiyo endeleeni
kusubiri" na kuwa cc ma-haters