Mtanzania anayecheza kikapu katika Ligi ya Marekani maarufu kama NBA,
Hasheem Thabeet, amekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa soka kwenye
Uwanja wa Taifa,Dar.
Thabeet anayecheza katika timu ya Thunder, aliibuka na kuwasalimia
mashabiki wakati Taifa Stars ikivaa Uganda nao walimshangilia kwa nguvu
sana.
|
Saturday, July 13, 2013
HASHEEM THABEET AWA KIVUTIO UWANJA WA TAIFA!!!! WABONGO WAMSHANGAA:
Labels: ARUSHA ONE
maisha ya mastaa