Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, July 15, 2013

AONDOLEWA THELUTHI MOJA YA FUVU LAKE LILILOPONDEKA VIBAYA...


KUSHOTO: John Eccles baada ya kuondolewa sehemu ya fuvu lake. KATIKATI: Eccles akiwa hospitali baada ya kufanyiwa upasuaji wa fuvu lake. KULIA: Andrew Dodds.
Mtu mmoja alilazimika kuondolewa theluthi moja ya fuvu lake baada ya kuwa ameshambuliwa na rafiki yake wa zamani aliyegeuka mshindani wake katika mapenzi.
Wafanyakazi wa matibabu walilazimika kupachika kipande cha bati katika kichwa cha John Eccles baada ya kupondwa fuvu lake ukutano katika makabiliano hayo yaliyomwacha akiwa hajitambui kwa wiki mbili.
Mtu huyo mwenye miaka 35 alisema aliachwa kama alikuwa 'kagongwa na gari' wakati mwishowe alipozinduka hospitali hapo, ambako alilazimishwa kukaa kwa miezi sita.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...