SONY DSC
Kaimu Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Neema Rusibamayila (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua mafunzo kwa wanahabari kuhusu umuhimu wa kutumia dawa za kinga tiba ambazo zitaanza kutolewa bure juni 22  hadi 27 mwaka huu na wizara hiyo katika Mkoa wa Dar es Salaam na Mwanza kupitia mpango wa  taifa wa kutokomeza magonjwa ambayo yalikuwa hayajapewa kipaumbele (NTD’s). Kulia ni Mratibu wa Taifa wa magonjwa hayo, Dk. Upendo Mwingira.
SONY DSC
Wahariri wa vyombo mbalimbali wakiwa kwenye semina hiyo.
SONY DSC
Mmoja wa wanahabari hao akichangia mada.