Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, June 10, 2013

TCRA yaichimba mkwara Star TV, yaiamrisha kurudisha signal Startimes, Star TV yaendelea na msimamo wake

 ITV
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA leo imekiamrisha kituo cha runinga cha Star TV kirudishe matangazo yake iliyoyakatiza weekend iliyopita kupitia king’amuzi cha Startimes.

Akiongea na waandishi wa habari leo, mkurugenzi mkuu wa TCRA Profesa John Nkoma amesema Star TV na Star Media wanatakiwa kuzingatia masharti yaliyoanishwa kwenye leseni zao.
Msikilize hapo chini.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...