Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA leo imekiamrisha kituo cha runinga cha Star TV kirudishe matangazo yake iliyoyakatiza weekend iliyopita kupitia king’amuzi cha Startimes.
Akiongea na waandishi wa habari leo, mkurugenzi mkuu wa TCRA Profesa John Nkoma amesema Star TV na Star Media wanatakiwa kuzingatia masharti yaliyoanishwa kwenye leseni zao.
Msikilize hapo chini.