Dereva
tax ameamua kutumia njia ya Treni kuepuka msongamano wa magari katika
barabara ya kutokea kigogo kuelekea ubungo barabara hiyo imekua nafoleni
kubwa baada ya waendesha magari kuamua kuitumia ili kukwepa foleni
barabara ya Ubungo hadi kuingia katikati ya jiji ambayo ipo katika
matengenezo ya utanuzi.Picha chris Mfinanga