Katibu
Mkuu ofisi ya Raisi na utumishi wa umma Bw Georg Yambesi c akijadiliana
jambo na Rais wa (AADCL) na Mkurugenzi (DLC) kutoka Senegal Bwana Mor
Seck kushoto kwa Yambesi ni Mkurugenzi mtedaji wa (TAGLA) Charles Senkor Wajumbe wa mkutano huo wakiwa katika picha ya pamoja