Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Wednesday, June 12, 2013

MTEMVU ATOA MSAADA WA SH. MIL 3.5 KWA VIKOBA NA ULINZI SHIRIKISHI

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Shule ya Azimio, Tandika, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Mtemvu alivikabidhi vikundi vitano vya Kuweka na Kukopa (VICOBA, kila kimoja msaada wa sh. 500,000 na kikundi cha ulinzi shsirikishi sh. 500,000 za kutunisha mifuko hiyo.
 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kulia), akikumbatiana na mmoja wa wanachama wa kikundi cha Vicoba cha Tuyangatane waliofurahi kupatiwa msaada wa sh. 500,000 za kutunisha mfuko wa kikundi hicho.
 Wanachama wa Tuyangatane wakifurahia kupata hundi hiyo.

 Mtemvu akikipatia kikundi cha Vigoba cha Tumaini msaada wa sh. laki tano
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...