Mbunge
wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), akihutubia katika mkutano wa
hadhara uliofanyika Uwanja wa Shule ya Azimio, Tandika, Dar es Salaam,
mwishoni mwa wiki. Mtemvu alivikabidhi vikundi vitano vya Kuweka na
Kukopa (VICOBA, kila kimoja msaada wa sh. 500,000 na kikundi cha ulinzi
shsirikishi sh. 500,000 za kutunisha mifuko hiyo.
Mbunge
wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kulia), akikumbatiana na mmoja wa
wanachama wa kikundi cha Vicoba cha Tuyangatane waliofurahi kupatiwa
msaada wa sh. 500,000 za kutunisha mfuko wa kikundi hicho.
Wanachama wa Tuyangatane wakifurahia kupata hundi hiyo.
Mtemvu akikipatia kikundi cha Vigoba cha Tumaini msaada wa sh. laki tano