Mbunge
wa Mtwara Mjini ndg Murji amerejeshwa rumande mara baada ya kukosa
kutimiza masharti ya dhamani iliyo tolewa na Mahakama. Kesi hiyo
itasikilizwa tena tarehe 12/06/2013.
Mbunge
huyo alikamatwa usiku wa Jumamosi tarehe 8/06/2013 kwa kosa la kuhusika
na Uchochezi katika Vurugu zilizotokea Mkoani humo hivi karibuni.